Jumatatu, 12 Septemba 2016

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AONGOZA SWALA YA IDD EL HAJI VIWANJA VYA MWEMBE YANGA TEMEKE JIJINI DAR ES SALAAM

Posted by Esta Malibiche on Sept12.2016 in NEWS
1
 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akitoa hutuba katika swala ya Idd El Haji iliyofanyika Viwanja vya Mwembe Yanga Dar es Salaam leo asubuhi.
 Swala ikiendelea.
Waziri Mkuu alivyojumuika na waislam wenzake katika swala hiyo.
 Sheikh Abdu Kadri akiongoza swala ya Idd El Haji 
 Sheikh Nurudin Kishki akihutubia baada ya swala hiyo.
 Waumini wa dini ya kiislam wakishiriki swala hiyo.
 Waumini wa dini ya kiislam wakiswali.

0 maoni:

Chapisha Maoni