Alhamisi, 29 Septemba 2016

Kongamano la wadau wa mafuta na gesi kuhusu sera ya uzawa lafanyika jijini Dar es salaam

Posted  by Esta Malibiche on Sept29.2016 in TEKNOLOJIA

get1
Mwakilishi mkazi wa Benki ya dunia Bi. Bella Bird (kushoto) akizungumza jambo na Naibu Waziri wa Nishati na Madini Dkt.Medard Kalemani(kulia) wakati walipokutana kuzungumzia masuala ya mafuta na gesi katika sera ya mzawa katika mradi wa Liquidfied natural gas (LNG)uliofanyika katika ukumbi wa mwalimu nyerere jijini Dar es Salaam.
Picha na Daudi Manongi,MAELEZO
get2
Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Bi. Beng’i Issa akizungumza na akizungumza na wadau wa mafuta na gesi kuhusu sera sera ya uzawa katika mradi wa Liquidfied natural gas (LNG) uliofanyika katika ukumbi wa mwalimu nyerere jijini Dar es Salaam.
get6
Naibu Waziri wa Nishati na Madini Dkt.Medard Kalemani(katikati waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na mwakilishi mkazi wa Benki ya dunia Bi. Bella Bird, Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Bi. Beng’i Issa, Mkurugenzi wa Shirika la TradeMark East Afrika Bw.John Ulanga na kamishna Msaidizi wa umeme kutoka wizara ya nishati na madini Mhandisi John Luoga.
get3
Mwakilishi mkazi wa Benki ya dunia Bi. Bella Bird akizungumza na wadau wa mafuta na gesi kuhusu  sera ya uzawa katika mradi wa Liquidfied natural gas (LNG) uliofanyika katika ukumbi wa mwalimu nyerere jijini Dar es Salaam.
get4
Naibu Waziri wa Nishati na Madini Dkt.Medard Kalemani akizungumza na wadau wa mafuta na gesi kuhusu sera sera ya uzawa katika mradi wa Liquidfied natural gas (LNG)uliofanyika katika ukumbi wa mwalimu nyerere jijini Dar es Salaam.
get5
Naibu Waziri wa Nishati na Madini Dkt.Medard Kalemani akizungumza na wadau wa mafuta na gesi kuhusu sera sera ya uzawa katika mradi wa Liquidfied natural gas (LNG)uliofanyika katika ukumbi wa mwalimu nyerere jijini Dar es Salaam.

0 maoni:

Chapisha Maoni