Jumatano, 14 Septemba 2016

ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA KIBAHA ASSUMPTER MSHAMA KWA WAKULIMA NA WAFUGAJI

msa1
MKUU wa wilaya ya Kibaha ,mkoani Pwani,Assumpter Mshama ,akizungumza na wakulima  na wafugaji wa kata ya Dutumi na kata ya Kwala  wilayani humo juu ya matatizo ya wakulima na wafugaji . (Picha na Mwamvua Mwinyi)
msa2
Mkuu wa wilaya ya Kibaha, Assumpter Mshama,akimsikiliza mkulima Tausi Maulid, ambaye mifugo iliingia katika  shamba lake na kula mazao  yake na mifugo  ya Dotto Mabula huko kijiji cha Madege kata ya Dutumi.(Picha na Mwamvua Mwinyi)
msa3
Mwenyekiti wa wafugaji huko katika kijiji cha  Dutumi mzee Majaliwa akimuelezea mkuu wa wilaya ya Kibaha Assumpter Mshama, juu ya mgogoro baina ya wafugaji na wakulima  katika eneo hilo.(Picha na Mwamvua Mwinyi)

0 maoni:

Chapisha Maoni