Alhamisi, 29 Septemba 2016

UZINDUZI WA MATOKEO YA UTAFITI WA MAPATO NA MATUMIZI YA KAYA BINAFSI WAFANYIKA ZANZIBAR.

vp1
Baadhi ya Waalikwa waliohudhuria katika Uzinduzi wa Matokeo ya Utafiti wa Mapato na Matumizi ya Kaya Binafsi wa Mwaka 2014/15 uliofanyika katika Ukumbi wa Sanaa Rahaleo Zanzibar. 
vp2
Mtakwimu Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mayasa Mahfoudha Mwinyi akitoa maelezo kuhusu utafiti wa Mapato na Matumizi ya Kaya binafsi wa Mwaka 2014/15 katika Uzinduzi uliofanyika katika Ukumbi wa Sanaa Rahaleo Zanzibar. 
vp3
Muakilishi wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa Zanzibar Anna Senga akitoa maelezo kuhusu  utafiti wa Mapato na Matumizi ya Kaya binafsi wa Mwaka 2014/15 katika Uzinduzi uliofanyika katika Ukumbi wa Sanaa Rahaleo Zanzibar.
vp4
Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Ayoub Mohd Mahmoud akitoa hotuba ya makaribisho kwa mgeni rasmi katika Uzinduzi wa  utafiti wa Mapato na Matumizi ya Kaya binafsi wa Mwaka 2014/15  katika Ukumbi wa Sanaa Rahaleo Zanzibar.
vp5
Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar Dk,Khalid Salum Mohammed akitoa hotuba ya Uzinduzi wa Matokeo ya Utafiti wa Mapato na Matumizi ya Kaya Binafsi wa Mwaka 2014/15 uliofanyika katika Ukumbi wa Sanaa Rahaleo Zanzibar. 
vp6
-Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar Dk,Khalid Salum Mohammed wamwanzo kushoto akizindua Matokeo ya Utafiti wa Mapato na Matumizi ya Kaya Binafsi wa Mwaka 2014/15 uliofanyika katika Ukumbi wa Sanaa Rahaleo Zanzibar. katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Yubu Mohd Mahamoud na mwengine ni Mtakwimu Mkuu wa Serikali ya zanzibar Mayasa Mahfoudha Mwinyi.
vp7
Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar Dk,Khalid Salum Mohammed wamwanzo kushoto akionesha kitabu cha Uzinduzi wa  Matokeo ya Utafiti wa Mapato na Matumizi ya Kaya Binafsi wa Mwaka 2014/15 uliofanyika katika Ukumbi wa Sanaa Rahaleo Zanzibar. katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Yubu Mohd Mahamoud na mwengine ni Mtakwimu Mkuu wa Serikali ya zanzibar Mayasa Mahfoudha Mwinyi.
vp8
Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar Dk,Khalid Salum Mohammed akimkabidhi Muakilishi wa UNICEF Francesca Morandini kitabu cha  Matokeo ya Utafiti wa Mapato na Matumizi ya Kaya Binafsi wa Mwaka 2014/15 uliofanyika katika Ukumbi wa Sanaa Rahaleo Zanzibar. 
PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.

0 maoni:

Chapisha Maoni