Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan
akisalimiana na Mkurugenzi wa Hoteli ya Ramada encore Abdul Ismail
(kushoto),wakati wa hafla ya uzinduzi rasmi wa Hoteli hiyo leo Jijini
Dar es Salaam.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan na
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Meja Jenerali Mstaafu
Gaudence Milanzi (kulia) wakiwa katika hafla ya uzinduzi rasmi wa Hoteli
hiyo leo Jijini Dar es Salaam.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan
akisalimiana na Mbunge wa Jimbo la Butiama Mhe. Nimrod Mkono (kushoto)
walipokutana katika hafla ya uzinduzi rasmi wa Hoteli ya RAMADA encore
leo Jijini Dar es Salaam.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan
akielezea jambo wakati alipotembelea chumba cha mazoezi kilichopo katika
Hoteli ya RAMADA encore alipokuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa Hoteli
hiyo leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Msaidi wa Msimamizi Msaidizi wa
Mapokezi katika hoteli hiyo Bi. Janeth Leornard.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akiweka jiwe la msingi la ufunguzi wa hoteli ya Ramada encore yenye
hadhi ya nyota 5 jijini Dar es Salaam. Kulia Mkurugenzi Mtendaji wa
Hoteli ya Ramada encore. Abdul Ismail akishuhudia tukio hilo.
0 maoni:
Chapisha Maoni