Posted by Esta Malibiche on Sept 6.2016
Daniel Manota ni mhitimu wa
mafunzo ya ualimu Ilonga TC mwaka 2015.anasumbuliwa na maradhi ya FIGO
tangu mwezi wa 10/2015,kwa sasa yuko Mhimbili hospital,hari yake inazidi
kuwa mbaya kwa kukosa pesa za kununua dawa,hivyo kama ndugu ,jamaa na
rafiki unaombwa kumchangia ili aweze kununua dawa zake zinazogharimu
kiasi cha sh.milion 1 kwa wiki. Tunaomba tumuunge mkono kijana mwenzetu
ambaye anapata maumivu makali .
MUNGU HUMBARIKI ATOAYE KWA MOYO WA UKUNJUFU.
Tuma mchango kupitia namba hii ,tuunganishe nguvu zetu kwa lengo la kuokoa maisha yake.hii.
0659656970. NEEMA URASA
076818874 .DANIEL MANOTA
Bw. Daniel Manota akiwa amelazwa
Muhimbili kwa kusumbuliwa na maradhi ya figo, wapendwa tumsaidieni
mwenzetu mungu atawabariki pale mtakapopungukiwa kwa misaada yenu
mmbarikiwe sana.
0 maoni:
Chapisha Maoni