Ijumaa, 2 Septemba 2016

RAIS DKT. MAGUFULI AZUNGUMZA NA WANANCHI WA PEMBA KATIKA UWANJA WA GOMBANI YA KALE KISIWANI PEMBA.


Posted by Esta Malibiche on Sept2.2016 in News
P6
P2
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia mamia ya wanchi wa Pemba katika uwanja wa Gombani ya kale Chake chake kisiwani Pemba.
P4
P1
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein kabla ya kuhutubia mkutano wa katika uwanja wa Gombani ya kale Chake chake kisiwani Pemba.
P5 
Rais John magufuli akisalimiana na naibu katibu Mkuu wa CCM Zanzibar VuaiAli Vuaileo katika uwanja wa Gombani ya kale katika mkutano wa kuwashukuru wananchi wa Mikoa ya Pemba.
PICHA NA IKULU

0 maoni:

Chapisha Maoni