Jumanne, 6 Septemba 2016

Profesa Muhongo akutana na kampuni zinazochimba na kutafiti Mafuta na Gesi.

Posted by Esta Malibiche on Sept6.2016 in Teknolojia with No Comment

hon1
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa kikao cha kujadili maendeleo ya shughuli za utafiti na uchimbaji wa mafuta na gesi nchini.Kulia kwake ni Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya Dorsal Bw,P.K Surendran na wa pili kushoto kwake ni Mkurugenzi Mtendaji  Heritage Rukwa Tanzania Limited.
hon2
Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya Dorsal Bw,P.K Surendran akizungumza kuhusu hatua iliyofikiwa ya shughuli za utafutaji wa mafuta na Gesi.Kushoto kwa Mkurugenzi uyo ni Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo, Mkurugenzi mtendaji  Heritage Rukwa Tanzania Limited Bw Jim Baban(wa tatu kushoto),Meneja Mkazi  wa shirika la Statoil Tanzania  фystein Michelsen na Kaimu kamishna wa Nishati na Maendeleo ya Petrol nchini Bw.James Andilile.
hon3
Wadau wa Gesi na Mafuta wakimskiliza Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (hayupo pichani) wakati wa kikao cha kujadili maendeleo ya shughuli za utafiti na uchimbaji wa mafuta na gesi nchini.
hon4
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) Bw.Kapulya Msomba akieleza maendeleo ya shughuli za utafiti na uchimbaji wa mafuta na gesi  yaliyofikiwa na shirika hilo kwa wadau wa Mafuta na Gesi jijini Dar es Salaam.Kushoto kwake ni Kaimu kamishna wa Nishati na Maendeleo ya Petrol nchini Bw.James Andilile na  Meneja Mkazi  wa shirika la Statoil Tanzania Bw.  фystein Michelsen.
hon5
Kaimu kamishna wa Nishati na Maendeleo ya Petroli nchini Bw.James Andilile akijadili na wadau wa mafuta na gesi shughuli za utafiti na uchimbaji wa mafuta na gesi nchini.Kushoto kwake Meneja Mkazi  wa shirika la Statoil Tanzania  фystein Michelsen.
hon6
Mkurugenzi Mtendaji  kampuni ya Heritage Rukwa Tanzania Limited Bw Jim Baban akichangia jambo wakati wa kikao cha kujadili maendeleo ya shughuli za utafiti na uchimbaji wa mafuta na gesi nchini.Kulia kwake ni Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo na Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya Dorsal Bw,P.K Surendran.
Picha na Daudi Manongi-MAELEZO.

0 maoni:

Chapisha Maoni