Posted by Esta Malibiche on Sept 3.2016 in SIASA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitambulishwa kwa Bw. Mustapha Aboud
Jumbe na Rajabu Aboud Jumbe alipokwenda kutoa mkono wa pole kwa familia
ya Rais wa awamu ya Pili ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Marehemu
Mzee Aboud Jumbe Mwinyi nyumbani kwao Migombani Zanzibar mjini leo
Septemba 3, 2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimu wanafamilia alipokwenda
kutoa mkono wa pole nyumbani kwa Rais wa awamu ya Pili ya Serikali ya
Mapinduzi Zanzibar Marehemu Mzee Aboud Jumbe Mwinyi nyumbani kwao
Migombani Zanzibar mjini leo Septemba 3, 2016
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimu
wanafamilia alipokwenda kutoa mkono wa pole nyumbani kwa Rais wa awamu
ya Pili ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Marehemu Mzee Aboud Jumbe
Mwinyi nyumbani kwao Migombani Zanzibar mjini leo Septemba 3, 2016
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiweka sahihi
kitabu cha maombolezo alipokwenda kutoa mkono wa pole nyumbani kwa
Rais wa awamu ya Pili ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Marehemu Mzee
Aboud Jumbe Mwinyi nyumbani kwao Migombani Zanzibar mjini leo Septemba
3, 2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akielekezwa jambo na Rajabu Aboud
Jumbe alipokwenda kutoa mkono wa pole nyumbani kwa Rais wa awamu ya
Pili ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Marehemu Mzee Aboud Jumbe Mwinyi
nyumbani kwao Migombani Zanzibar mjini leo Septemba 3, 2016. Nyuma yao
ni Mama Janeth Magufuli na wanafamilia wa Mzee Jumbe.
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiweka shada
la maua kaburini na kutoa heshima zake alipokwenda kutoa mkono wa pole
nyumbani kwa Rais wa awamu ya Pili ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
Marehemu Mzee Aboud Jumbe Mwinyi Migombani Zanzibar mjini leo Septemba
3, 2016.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na ujumbe wake wakishiriki dua
alipokwenda kutoa mkono wa pole nyumbani kwa Rais wa awamu ya Pili ya
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Marehemu Mzee Aboud Jumbe Mwinyi
nyumbani kwao Migombani Zanzibar mjini leo Septemba 3, 2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiaga baada ya kutoa mkono wa pole
nyumbani kwa Rais wa awamu ya Pili ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
Marehemu Mzee Aboud Jumbe Mwinyi nyumbani kwao Migombani Zanzibar mjini
leo Septemba 3, 2016
PICHA NA IKULU
0 maoni:
Chapisha Maoni