Jumanne, 6 Septemba 2016

RAIS DK. JOHN POMBE MAGUFULI APOKEA UJUMBE MAALUM KUTOKA BURUNDI NA SUDAN KUSINI

Posted by Esta Malibiche on Sept 6.2016 in News
mge1

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Aggrey Tisa Sabuni Mjumbe maalum wa Rais wa Sudani Kusini aliyefika Ikulu kwa ajili ya mazungumzo na kuwasilisha ujumbe kutoka kwa Rais huyo wa Sudan kusini.
mge2
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea ujumbe maalum kutoka kwa Rais wa Burudi uliowasilishwa kwake na Aime Laurentine Kanyana Waziri wa Mambo ya Nje wa Burundi Ikulu jijini Dar es Salaam. Picha na IKULU
index

0 maoni:

Chapisha Maoni