Posted by Esta Malibiche on Sept 6.2016 in News
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Aggrey Tisa Sabuni Mjumbe
maalum wa Rais wa Sudani Kusini aliyefika Ikulu kwa ajili ya mazungumzo
na kuwasilisha ujumbe kutoka kwa Rais huyo wa Sudan kusini.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Dkt. John Pombe Magufuli akipokea ujumbe maalum kutoka kwa Rais wa
Burudi uliowasilishwa kwake na Aime Laurentine Kanyana Waziri wa Mambo
ya Nje wa Burundi Ikulu jijini Dar es Salaam. Picha na IKULU
0 maoni:
Chapisha Maoni