Posted by Esta Malibiche on Sept 6.2016 in News with No comment
Mkurugenzi wa wilaya ya Kondoa Mkoani Dodoma akizungumza na maofisa wa shirika la SIKIKA ofisini kwake leo hii
Mzangumzo yakiendelea baina ya mkurugenzi wa Kondoa na maofisa wa SIKAKA
|
|
Mwenyekiti wa timu ya SAM kondoa,ambae pia ni Mwenyekiti wa bodi ya Afya wilaya Mohamed Thawa akimkabidhi mkurugenzi wa wilaya ya kondoa Falesy Kibasa Ripoti ya utafiti. |
|
|
|
|
|
| |
|
|
Mkurugenzi wa wilaya ya Kondoa Mkoani Dodoma Falesy
Kibasa amepokea ripoti ya awali kutoka shirika lisilo la kiserikali la
SIKIKA linalofanya uchunguzi kujua kama sekta ya Afya inatumia vema
fedha za Serikali katika kutoa huduma za Afya nchini
Mkuu wa Program ya SIKIKAwilaya ya kondoa Alice Monyo akimkabidhi Mkurugenzi Ripoti ya utafiti
0 maoni:
Chapisha Maoni