Posted by Esta Malibiche on Sept9.2016 in News
Profesa Mark Mwandosya (kushoto)
akielezea uzoefu wake alipokuwa Kamishna wa Kwanza wa Nishati na
Maendeleo ya Petroli, Wizara ya Nishati na Madini mwaka 1985 mara
alipomtembelea Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini
anayeshughulikia Nishati, Dkt. Juliana Pallangyo ofisini kwake jijini
Dar es Salaam. Katikati ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na
Madini anayeshughulikia Nishati, Dkt. Juliana Pallangyo. Kulia ni
mwakilishi kutoka Kampuni ya Pan African Energy aliyeambatana na Profesa
Mark Mwandosya, Jacqueline Kawishe.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya
Nishati na Madini anayeshughulikia Nishati Dkt. Juliana Pallangyo
akielezea maendeleo ya Idara ya Nishati katika kikao hicho.
Profesa Mark Mwandosya akisisitiza jambo katika kikao hicho
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya
Nishati na Madini anayeshughulikia Nishati Dkt. Juliana Pallangyo
akisikiliza maelezo yaliyokuwa yanatolewa na Profesa Mark Mwandosya
(hayupo pichani)
Kutoka kulia, Profesa Mark
Mwandosya, Kaimu Kamishna wa Nishati na Maendeleo ya Petroli Nchini
kutoka Wizara ya Nishati na Madini, James Andilile na mwakilishi
kutoka Kampuni ya Pan African Energy, Jacqueline Kawishe wakifuatilia
maelezo yaliyokuwa yanatolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati
na Madini anayeshughulikia Nishati Dkt. Juliana Pallangyo (hayupo
pichani).
Kutoka kushoto, Kaimu Kamishna wa
Nishati na Maendeleo ya Petroli Nchini kutoka Wizara ya Nishati na
Madini, James Andilile, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini
anayeshughulikia Nishati Dkt. Juliana Pallangyo, Profesa Mark Mwandosya
na mwakilishi kutoka katika kampuni ya Pan African Energy, Jacqueline
Kawishe wakiwa katika picha ya pamoja.
0 maoni:
Chapisha Maoni