Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akizungumza na Badhi ya Mawaziri na viongozi wa mkoa wa Dodoma baada ya
kukagua ujenzi wa makazi mapya ya Waziri Mkuu kwenye kilima cha Mlimwa
mjini Dodoma Septemba 7,2016. Katikati ni mkewe Mary.(Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na
mkewe Mary (kulia kwake ) wakikagua ujenzi wa makazi mapya ya Waziri
Mkuu kwenye kilima cha Mlimwa mjini Dodoma Septemba 7, 2016. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na
mkewe Mary (kulia kwake ) wakikagua ujenzi wa makazi mapya ya Waziri
Mkuu kwenye kilima cha Mlimwa mjini Dodoma Septemba 7, 2016. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa na
Mkewe Mary (kushoto) wakipata maelezo kutoka kwa Waziri wa Nchi, Ofisi
ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Jenista
Mhagama kuhusu ujenzi wa makazi mapya ya Waziri Mkuu, kwenye kilima cha
Mlimwa mjini Dodoma Septemba 7, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na
mkewe Mary (kulia kwake ) wakikagua ujenzi wa makazi mapya ya Waziri
Mkuu kwenye kilima cha Mlimwa mjini Dodoma Septemba 7, 2016. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
0 maoni:
Chapisha Maoni