Jumanne, 4 Oktoba 2016

WAZIRI MBARAWA AHUDHURIA SHEREHE YA SIKU YA WATU WA KOREA KUSINI

Posted by Esta Malibiche on Oct4.2016 in NEWS
 kame5

kame1
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akizungumza na wageni waliohudhuria Sherehe ya Siku ya Watu wa Korea Kusini iliyoadhimishwa jana jijini Dar es Salaam.
kame2
Wageni waalikwa waliohudhuria Sherehe ya Siku ya Watu wa Korea Kusini wakimsikiliza Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa katika hafla hiyo.
kame3
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (kulia, na Balozi wa Serikali ya Jamhuri ya Korea Kusini Bw. Song, Geum-young (katikati), wakikata keki kama ishara ya kujenga mahusiano mema baina ya nchi hizo mbili katika Sherehe ya Siku ya  Watu wa Korea Kusini iliyoadhimishwa jana jijini Dar es Salaam.
kame4
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akigonga glasi (cheers) na Balozi wa Serikali ya Jamhuri ya Korea Kusini Bw. Song, Geum-young kama ishara ya kujenga mahusiano mema baina ya nchi hizo mbili katika Sherehe ya Siku ya Watu wa  Korea Kusini iliyoadhimishwa jana jijini Dar es Salaam.
kame5
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akizungumz na wageni waalikwa katika hafla hiyo.
kame6

0 maoni:

Chapisha Maoni