Jumamosi, 8 Oktoba 2016

RAIS DK. MAGUFULI AWAKARIBISHA MABOHORA KUJA KUWEKEZA NCHINI TANZANIA


Posted by Esta Malibiche on Oct8.2016 in BIASHARA
mabo3
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John pombe Magufuli akihutubia mbele ya  waumini na  Kiongozi wa Jumuiya ya  Mabohora Duniani, Dk Seydna Mufaddal Saifuddin kwenye msikiti wa Bohora ulioko Upanga jijini Dar es salaam ambako alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za Mabohora kuadhimisha Mwaka Mpya wa Kiislamu wa 1438 leo Oktoba 8, 2016
umula1

0 maoni:

Chapisha Maoni