Ijumaa, 28 Oktoba 2016

DC KILOLO ASIA ABDALAH AWATAKA VIJANA KUWA WAADILIFU

Posted by Esta Malibiche on Oct 28.2016 in NEWS
 
Mkuu wa  wilaya ya  Kilolo Asia Abdalah kushoto  akizungumza na  vijana  wanaofundishwa mafunzo ya  Mgambo 

Vijana  wa Kilolo  wakiwa katika mafunzo ya Mgambo  kwenye kijiji  cha Isuka

MKUU  wa  wilaya ya  Kilolo  mkoani Iringa Asia abdalah  amewataka  vijana  wanaojifunza mafunzo ya  mgambo katika  wilaya ya  Kilolo  kuyatumia mafunzo hayo  kwa  ajili ya kujiongezea  kipato halali  badala ya  kujiingiza katika vitendo vya uharifu.

0 maoni:

Chapisha Maoni