Jumatatu, 10 Oktoba 2016

Yaliyojiri TBL Mbeya waliposherehekea mafanikio ya kiwanda

Posted by Esta Malibiche on Oct10.2016 in BIASHARA

gra1
Wafanyakazi wakifanya mazoezi ya kuimarisha miili yao chini ya mpango wa Afya Kwanza wa kampuni
gra2
Wafanyakazi wakifanya mazoezi ya kuimarisha miili yao chini ya mpango wa Afya Kwanza wa kampuni
gra3 gra4
Wafanyakazi wakizungusha ngao na cheti cha tuzo mitaani
gra5
Wafanyakazi wakizungusha ngao na cheti cha tuzo mitaani
gra6
Mmoja wa wafanyakazi wa muda mrefu akipokea cheti kutoka kwa Meneja wa Kiwanda,Jemedari Waziri Meneja wa kiwanda Jemedari Waziri akiongea na wafanyakazi na wageni waalikwa
………………………………………….
Hivi karibuni kwa mara nyingine kiwanda cha TBL cha Mbeya  kilitangazwa kuwa kiwanda bora cha kutengeneza bia barani Afrika na kunukiwa tuzo katika hafla ya SABMiller iliyofanyika nchini Afrika Kusini.
 
Wafanyakazi wa kiwanda hicho mwishoni mwa wiki waliitumia siku nzima kusheherekea mafanikio hayo makubwa ambayo yaliambatana na kufanya mazoezi chini ya Mpango wa kampuni wa Afya Kwanza,kuandamana mitaani kuonyesha tuzo waliyopata kwa wananchi,kutunuku vyeti kwa wafanyakazi wa muda mrefu pia kulikuwepo na hafla kubwa ya kupongezana iliyohudhuriwa na wafanyakazi na viongozi mbalimbali wa serikali mkoani Mbeya.

0 maoni:

Chapisha Maoni