Jumanne, 4 Oktoba 2016

NAIBU KATIBU MKUU WAZAZIZI TAIFA NAJMA MWITA GIGA AZINDUA OFISI MPYA YA WAZAZI MKOA MAGHARIBI KICHAMA.

Posted by Esta Malibiche on Oct4.2016 in NEWS

nab2

nab1
Naibu Katibu Mkuu wa Wazazi Taifa Najma Mwita Giga akizungumza na viongozi wa CCM mkoa Magharibi Kichama baada ya kuzindua Ofisi ya Jumuiya ya Wazazi Mkoa Magharibi,  Mwera.
nab2
Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi Taifa Najma Mwita Giga akizungumza na viongozi wa CCM na Jumuiya ya Wazazi baada ya kuzindua Ofisi ya Jumuiya hiyo Mkoa Magharibi Mwera.
nab3


Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi Taifa Najma Mwita Giga akimkabidhi Komputer na Printer Katibu Mkuu wa  Wazazi wa Mkoa wa Magharibi kichama Mohd Abdi baada ya kuzindua Ofisi ya Jumuiya hiyo huko Mwera.

nab4
Viongozi waliohudhuria hafla hiyo wakifuatilia hotuba ya Naibu Katibu Mkuu wa Wazazi Najma Mwita Giga  wakati wa uzinduzi wa Ofisi ya Jumuiya hiyo mkoa wa Magharibi.
Picha na Salmin Said Nasor/Maelezo Zanzibar.

0 maoni:

Chapisha Maoni