Ijumaa, 7 Oktoba 2016

UFAFANUZI WA UVUMI KUWEPO KWA VOLKANO WILAYANI MISENYI MKOANI KAGERA.

Posted by Esta Malibiche on Oct7.2016 in NEWS
mise1
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST) Prof. Abdulkarim Mruma  (aliyeshika panga) akitoa ufafanuzi juu ya uvumi kuwepo volcano leo katika eneo la Katarabuga, kata ya Bwanjai wilaya ya Misenyi. Eneo la mbele waliposimama wananchi na viongozi lililoungua ndio limeungua moto na kusadikiwa kuwa ni volcano hatua ambayo imekanushwa na Mtendaji Mkuu wa Jioloji badala yake ulikuwa huo moto kawaida. Eneo la mbele waliposimama wananchi na viongozi lililoungua ndio lilisadikiwa kuwa ni volcano hatua ambayo imekanushwa na Mtendaji Mkuu wa Jioloji badala yake ulikua ni moto wa kawaida.
mise2 mise3
mise4
Wananchi wakiwa katika eneo la Katarabuga, kata ya Bwanjai wilaya ya Misenyi ilipodaiwa kuwepo kwa volcano hatua ambayo imekanushwa na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST) Prof. Abdulkarim Mruma badala yake amesema huo ulikuwa ni moto wa kawaida. Eneo la mbele waliposimama wananchi na viongozi lililoungua ndio lilisadikiwa kuwa ni volcano hatua ambayo imekanushwa na Mtendaji Mkuu wa Jioloji badala yake ulikuwa ni moto wa kawaida.
mise5
Wananchi wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Misenyi Luteni Kanali Denis Mwila (aliyevaa koti jeusi) eneo la Katarabuga, kata ya Bwanjai wilaya ya Misenyi ilipodaiwa kuwepo kwa volcano hatua ambayo imekanushwa na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST) Prof. Abdulkarim Mruma badala yake amesema huo ulikuwa ni moto wa kawaida.
mise6
mise7
Baadhi ya viongozi wakiwasili eneo katika eneo la Katarabuga, kata ya Bwanjai wilaya ya Misenyi ilipodaiwa kuwepo kwa volcano hatua ambayo imekanushwa na Mtendaji Mkuu wa Jiolojia badala yake huo ulikuwa ni moto wa kawaida.
(Picha na Eleuteri Mangi, MAELEZO, Bukoba)

0 maoni:

Chapisha Maoni