Jumatano, 20 Aprili 2016

WAZIRI MAJALIWA AKITETA JAMBO NA SPIKA NDUGAI NA MBUNGE LULIDA


MAJI
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  na Spika wa Bunge, Job Ndugai  (kushoto)  wakizungumza na Mbunge wa Viti Maalum Riziki Lulida (kulia) kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Aprili 19, 2016. (Picha na Ofisi  ya Waziri Mkuu) 

 

0 maoni:

Chapisha Maoni