Jumatatu, 25 Aprili 2016

MAFANIKIO YA UJENZI WA DARAJA YA LA KIGAMBONI YALIKUWA NA CHANGAMOTO PIA

hig001
Meneja Mradi wa Ujenzi wa Daraja la Kigamboni Mhandisi Karim Mataka akizungumza na waandishi wa habari wakati walipotembelea katika mradi wa  daraja la Kigamboni akiwaelezea waandishi wa habari mambo mbalimbali na changamoto zilizokuwa zinawakabili wakati wa ujenzi wa daraja hilo mpaka kukamilika kwake.
hig01
Injinia JAMAL  MRUMA mhandisi wa mradi daraja la Kigamboni kutoka kampuni ya CREJ ya China  akiwaelezea waandishi wa habari mambo mbalimbali na changamoto zilizokuwa zinawakabili wakati wa ujenzi wa daraja hilo mpaka kukamilika kwake.
DCIM100MEDIADJI_0006.JPG
Hapa ndipo mahali pa kulipia kwa vyombo mbalimbali vinavyovuka kwenye daraja hilo la Kigamboni.
DCIM100MEDIADJI_0011.JPG
CgMM5g4UAAA8hhP
Daraja la Kigamboni linavyoonekana usiku.
DCIM100MEDIADJI_0053.JPG
Daraja la Kigamboni linavyoonekana mchana.
DCIM100MEDIADJI_0060.JPG
Makutano ya barabara za kutoka na kuingia katika daraja la Kigamboni yanavyoonekana.
DCIM100MEDIADJI_0064.JPG
DCIM100MEDIADJI_0069.JPG

0 maoni:

Chapisha Maoni