Jumapili, 24 Aprili 2016

MKUTANO WA KAMTI MAALUM YA HALMASHAURI KUU YA CCM ZANZIBAR

Z1 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mjini Kichama Borafya Silima mara alipowasili katika viwanja vya Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja kuhudhuria katika kikao cha siku moja cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar leo, Z3Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) Naibu Katibu Mkuu wa CCM ZanzibarVuai Ali Vuai (kulia) na  Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar pia Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Balozi Seif Ali Iddi wakiwa katika kikao cha siku moja cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar kilichofanyika leo katika ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja.
Z4Baadhi ya wajumbe wa kikao cha siku moja cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar wakipiga makofi ka kuimba wimbo wa Chama cha Mapinduzi wakati Mwenyekiti wa kikao hicho Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein alipoingia katika ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja kilimofanyika leo
Z7Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akiendesha  kikao cha siku moja cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar kilichofanyika leo katika ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja, Z2Baadhi ya wajumbe wa kikao cha siku moja cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar kilichofanyika leo, katika Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja wakipitia agenda  kabla ya kuanza kwa kikao hicho  katika ukumbi wa mkutano chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) 
Z5Wajumbe wa Sekretarieti ya Halamashauri Kuu ya CCM Zanzibar wakisikiliza kwa makini michango mbali mbali iliyotolewa katika kikao cha siku moja cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar kilichofanyika leo katika ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja
Z6 Baadhi ya wajumbe wa kikao cha siku moja cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akifungua kikao hicho kilichofanyika leo katika ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja,
[Picha na Ikulu.]

0 maoni:

Chapisha Maoni