23:20
Thea Samjela wa Uchukuzi SC (kuilia) akichuana na Regina Mutimangi wa TPDC katika mchezo wa bao.
Omar Said wa Uchukuzi SC (kushoto) akicheza bao dhidi Hamisi Rahis wa Tanesco.
Neema Makassy wa Uchukuzi SC (kulia) akitafakari katika mchezo wa bao dhidi ya Joyce Kimondi wa Ujenzi.
Ally Sule wa Uchukuzi SC(kushoto) akicheza mchezo wa fainali dhidi ya Salum Simba wa Tamisemi. Simba aliibuka bingwa.
Timu ya wanawake ya kamba ya Uchukuzi SC wakiwavuta wenzao wa Ukaguzi kwa mivuto 2-0.
Timu ya wanaume ya Uchukuzi SC wakiwavuta wenzao wa Tamisemi kwa mivuto 2-0.
0 maoni:
Chapisha Maoni