Ijumaa, 22 Aprili 2016

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AWASILI MKOANI ARUSHA KUFUNGUA MKUTANO WA NANE WA MAWAZIRI WA NCHI ZA MAZIWA MAKUU

MIA1
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikagua vikundi mbalimbali vya ngoma alipowasili Uwanja wa ndege wa Kilimanjaro kwa ajili ya kufungua Mkutano wa nane wa kikao cha kawaida kuhusu matumizi ya silaha ndogondogo katika nchi za maziwa makuu na pembe ya Afrika unaotarajiwa kuanza kesho April 22, 2016 Mkoani Arusha Picha na OMR.
MIA2 MIA3 MIA4

0 maoni:

Chapisha Maoni