Msimamizi
wa ujenzi wa Mradi wa bomba jipya la maji kutoka Ruvu Juu Mlandizi hadi
Dar es salaam lenye urefu wa km 40 ambalo liko katika hatua za mwisho
za ujenzi kutoka DAWASA Mhandisi Christian Gava akitoa ufafanuzi wa
masuala ya kiufundi kuhusu mradi huo. Kushoto ni Meneja Mawasiliano na
Uhusiano wa Jamii wa DAWASA Neli Msuya.
Msimamizi
wa ujenzi wa Mradi wa bomba jipya la maji kutoka Ruvu Juu Mlandizi hadi
Dar es salaam lenye urefu wa km 40 ambalo liko katika hatua za mwisho
za ujenzi kutoka DAWASA Mhandisi Christian Gava akitoa ufafanuzi wa
masuala ya kiufundi kuhusu mradi huo.






0 maoni:
Chapisha Maoni