Jumanne, 16 Agosti 2016

MBUNGE WA VITI MAALUM MKOANI IRINGA RITHA KABATI AIPONGEZA ASERIKALI KUZUIA BOMOA BOMOA

Esta Malibiche on August 17.2016 in News with No comment
MBUNGE  wa viti  maalum CCM mkoa  wa Iringa Ritta Kabati wa  tatu kulia  akitazama  moja kati ya nyumba za  watumishi Manispaa ya  Iringa  iliyovunjwa na uongozi  wa Manispaa ya Iringa kabla ya waziri wa nyumba na maendeleo ya makazi Bw Wiliam Lukuvi  kuzuia zoezi  la bomoabomoa kuendelea 
Mbunge kabati  akitazama  nyumba  iliyovunjwa
Nyumba  ambazo zilipangwa  kuvunjwa
Mstahiki  Meya wa manispaa ya  Iringa  Alex  Kimbe akizungumzia uamuzi  wa kusimamishwa diwani Dolla Nziku na kusitishwa kwa  bomoa bomoa

0 maoni:

Chapisha Maoni