Ijumaa, 19 Agosti 2016

Mh. Ummy Mwalimu Akizundua rasmi mpango wa awamu ya pili kulinda haki za wasichana nchini Tanzania

Postedy by Esta Mlibiche on August 19.2016

UMY1
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii  jinsia Wazee na watoto, Mh Ummy Mwalimu akitoa hotuba   kwenye kikao cha uzinduzi wa awamu ya pili ya kukusanya Nguvu za kulinda haki za wasichana nchini Tanzania leo tarehe 19/8/2016 jijini Dare salaam
UMY2
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii  jinsia Wazee na watoto, Mh Ummy Mwalimu Akizundua rasmi  mpango wa awamu ya pili ya kukusanya Nguvu za kulinda haki za wasichana nchini Tanzania leo tarehe 19/8/2016 jijini Dare salaam
UMY3
Kutoka kushoto Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo kwa Mtoto Bwana Benedict Missani akiwa pamoja na  Bibi Christine Mwanukuzi Kwayu wakisikiliza kwa makini hotuba inayotolewa na mgeni  Rasmi Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii  jinsia Wazee na watoto, Mh Ummy Mwalimu  kwenye kikao cha uzinduzi wa awamu ya pili ya kukusanya Nguvu za kulinda haki za wasichana nchini Tanzania leo tarehe 19/8/2016 jijini Dare salaam
UMY4
UMY5
Waandishi wa habari  pamoja na wadau wa Maendeleo ya Mtoto wakisikiliza kwa makini hotuba inayotolewa na mgeni  Rasmi Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii  jinsia Wazee na watoto, Mh Ummy Mwalimu  kwenye kikao cha uzinduzi wa awamu ya pili ya kukusanya Nguvu za kulinda haki za wasichana nchini Tanzania leo tarehe 19/8/2016 jijini Dare salaam

0 maoni:

Chapisha Maoni