Ijumaa, 19 Agosti 2016

MATUMIZI YA TEKNOLOJIA YA HABARI NA MAWASILIANO YALIVYORAHISISHA MCHAKATO WA AJIRA NA KUPUNGUZA GHARAMA ZA SERIKALI

Postedy byb Esta Malibiche on August 19.2016

NY1
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bi. Susan Mlawi  akiongea na baadhi wa Watendaji wakuu wa Wakala wa Serikali (hawapo pichani) wakati akifungua  jukwaa la kujadili uimarishaji wa mchakato wa Ajira katika Utumishi wa Umma kwa kutumia TEHAMA.
NY2
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw. Xavier Daudi (aliyesimama) akiwasilisha mada kuhusu matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano yalivyorahisisha mchakato wa ajira na kupunguza gharama za serikali.
NY3
Baadhi ya watendaji wakuu wa Taasisi wakitoa mchango wao wakati wa majadiliano kuhusu uimarishaji wa mchakato wa Ajira katika Utumishi wa Umma kwa kutumia Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
NY5
Baadhi ya watendaji wakuu wa Taasisi wakitoa mchango wao wakati wa majadiliano kuhusu uimarishaji wa mchakato wa Ajira katika Utumishi wa Umma kwa kutumia Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
NY7
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bi. Susan Mlawi (katikati) pamoja na baadhi ya Watendaji wakuu wa Wakala za Serikali baada ya kumaliza majadiliano kuhusu uimarishaji wa mchakato wa Ajira katika Utumishi wa Umma kwa kutumia TEHAMA.

0 maoni:

Chapisha Maoni