Jumanne, 30 Agosti 2016

Mkurugenzi wa FULLSHANGWE BLOG John Bukuku akabidhiwa Ripoti ya Uchaguzi Mkuu 2015

Posted by Esta Malibiche on August 30.2016

Mkurugenzi wa Mtandao wa Habari wa Fullshangwe akionesha Ripoti ya Uchaguzi mkuu mbele wa Waandishi wa Habari ( hawapo pichani ), baada ya kukabidhiwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jijini Dar es Salaam.
1
Bw . Mohamed Seif Ofisa kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwa niaba ya Mkurugenzi wa Tume hiyo akikabidhi kwa Bw. John Bukuku Mkurugenzi wa Mtandao wa Fullshangweblog Taarifa ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi Kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani 2015, Makabidhiano hayo yalifanyika kwenye mgahawa wa Mokka City Mtaa wa Samora jijini Dar es salaam.

2
Bw. John Bukuku Mkurugenzi wa Mtandao wa Fullshangweblog Taarifa ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi Kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani 2015 mara baada ya kukabidhiwa rasmi.

3
Bw. John Bukuku Mkurugenzi wa Mtandao wa Fullshangweblog Taarifa ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi Kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani 2015.

0 maoni:

Chapisha Maoni