Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis
Mwamunyange (kulia), akimkabidhi zawadi ya Nembo ya JWTZ Waziri wa
Ulinzi wa Canada, Mhe. Harjit Singh Sajjan (kushoto) ofisini kwake Makao
Makuu Upanga jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Ulinzi wa Canada Mhe.
Harjit Singh Sajjan (kushoto) akifurahia zawadi ya Kinyago
alichokabidhiwa na mwenyeji wake, Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis
Mwamunyange (kulia) alipomtembelea ofisini kwake Upanga jijini Dar es
Salaam.
0 maoni:
Chapisha Maoni