Jumatatu, 15 Agosti 2016

MAJALIWA ASHIRIKI MAZISHI YA RAIS MSTAAFU WA ZANZIBAR ABOOD JUMBE

Postedy by Esta Malibiche on August 15.2016

MAJ1
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana wakislimiana na Viongozi wa Serikali na CCM baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Zanzibar kuhudhuria katika mazishi ya Rais wa Awamu ya Pili wa Zanzibar, Alhaj Abood Jumbe yaliyofanyika nyumbani kwa marehemu, Migombani Zanzibar, Agosti 15, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
MAJ2
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana wakislimiana na Viongozi wa Serikali na CCM baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Zanzibar kuhudhuria katika mazishi ya Rais wa Awamu ya Pili wa Zanzibar, Alhaj Abood Jumbe yaliyofanyika nyumbani kwa marehemu, Migombani Zanzibar, Agosti 15, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
MAJ3
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana wakislimiana na Viongozi wa Serikali na CCM baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Zanzibar kuhudhuria katika mazishi ya Rais wa Awamu ya Pili wa Zanzibar, Alhaj Abood Jumbe yaliyofanyika nyumbani kwa marehemu, Migombani Zanzibar, Agosti 15, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
MAJ4 MAJ5
Viongozi wa kitaifa wakishiriki katika sala ya kumwombea Ras wa Awamu ya Pili wa Zanzibar, marehemu Alhaj Abood Jumbe iliyofanyika kwenye msikiti, Mwembeshauri Zanzibar Agosti 15, 2016.  Kutoka kushoto ni Makamu wa Rais, Mstaafu, Dkt. Mohammed Bilal, Rais Mstaafu wa Zanzibar, Aman Karume, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohammed Shein. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
MAJ6
Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa Rais wa Awamu ya Pili wa Zanzibar, Alhaj Abood Jumbe katika mazishi yaliyofanyika nyumbani kwa marehemu, Migombani Zanzibar Agosti 15, 2016. (Picha na Ofisi a Waziri Mkuu)
MAJ7
Rais wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohammed Shein, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Rais Mstaafu wa Zanzibar, Aman Karume, Rais Mstaafu, Ali Hassan Mwinyi na Makamu wa Rais Mstaafu, Dkt. Mohammed Ghalib Bilai wakiwa katika mazishi ya Rais wa Awamu ya Pili wa Zanzibar, Alhaj  Abood Jumbe yaliyofanyika nyumbani kwa marehemu Migombani, Zanzibar Agosti 15, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu_)
MAJ8 MAJ9
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiweka udongo kwenye kaburi la Rais wa Awamu ya Pili wa   Zanzibar Alhaj Abood Jumbe katika mazishi yaliyofanyika nyumbani kwa Marehemu Migombani Zanzibar, Agosti 15, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
MAJ10
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Makamu wa Rais Mstaafu, Dkt. Mohammed Ghalib Bilal  baada ya mazishi ya Rais wa Awamu ya Pili wa Zanzibar, Alhaj Abood Jumbe yaliyofanyika nyumbani kwa marehemu, Migombani Zanzibar Agosti 15, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

0 maoni:

Chapisha Maoni