Postedy by Esta Malibiche on August 15.2016
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa,
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM,
Abdulrahman Kinana wakislimiana na Viongozi wa Serikali na CCM baada ya
kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Zanzibar kuhudhuria katika mazishi ya
Rais wa Awamu ya Pili wa Zanzibar, Alhaj Abood Jumbe yaliyofanyika
nyumbani kwa marehemu, Migombani Zanzibar, Agosti 15, 2016. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa,
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM,
Abdulrahman Kinana wakislimiana na Viongozi wa Serikali na CCM baada ya
kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Zanzibar kuhudhuria katika mazishi ya
Rais wa Awamu ya Pili wa Zanzibar, Alhaj Abood Jumbe yaliyofanyika
nyumbani kwa marehemu, Migombani Zanzibar, Agosti 15, 2016. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa,
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM,
Abdulrahman Kinana wakislimiana na Viongozi wa Serikali na CCM baada ya
kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Zanzibar kuhudhuria katika mazishi ya
Rais wa Awamu ya Pili wa Zanzibar, Alhaj Abood Jumbe yaliyofanyika
nyumbani kwa marehemu, Migombani Zanzibar, Agosti 15, 2016. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
Viongozi wa kitaifa wakishiriki
katika sala ya kumwombea Ras wa Awamu ya Pili wa Zanzibar, marehemu
Alhaj Abood Jumbe iliyofanyika kwenye msikiti, Mwembeshauri Zanzibar
Agosti 15, 2016. Kutoka kushoto ni Makamu wa Rais, Mstaafu, Dkt.
Mohammed Bilal, Rais Mstaafu wa Zanzibar, Aman Karume, Waziri Mkuu,
Kassim Majaliwa na Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohammed Shein. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waombolezaji wakiwa wamebeba
jeneza lenye mwili wa Rais wa Awamu ya Pili wa Zanzibar, Alhaj Abood
Jumbe katika mazishi yaliyofanyika nyumbani kwa marehemu, Migombani
Zanzibar Agosti 15, 2016. (Picha na Ofisi a Waziri Mkuu)
Rais wa Zanzibar, Dkt. Ali
Mohammed Shein, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Rais Mstaafu wa Zanzibar,
Aman Karume, Rais Mstaafu, Ali Hassan Mwinyi na Makamu wa Rais Mstaafu,
Dkt. Mohammed Ghalib Bilai wakiwa katika mazishi ya Rais wa Awamu ya
Pili wa Zanzibar, Alhaj Abood Jumbe yaliyofanyika nyumbani kwa marehemu
Migombani, Zanzibar Agosti 15, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu_)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akiweka udongo kwenye kaburi la Rais wa Awamu ya Pili wa Zanzibar
Alhaj Abood Jumbe katika mazishi yaliyofanyika nyumbani kwa Marehemu
Migombani Zanzibar, Agosti 15, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akizungumza na Makamu wa Rais Mstaafu, Dkt. Mohammed Ghalib Bilal baada
ya mazishi ya Rais wa Awamu ya Pili wa Zanzibar, Alhaj Abood Jumbe
yaliyofanyika nyumbani kwa marehemu, Migombani Zanzibar Agosti 15, 2016.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
0 maoni:
Chapisha Maoni