Msemaji
wa CCM na Mjumbe wa NEC, Christopher Ole Sendeka akisalimiana na baadhi
ya viongozi alipowasii Ofisi ya CCM wilaya ya Hanang mkoani Manyara
akiwa njioni kwenda Singida leo
Katibu
wa CCM wilaya ya Hanang, Kajoro Vyohoroka akimpeleka Ofisini, Msemaji
wa CCM Ole Sendeka baada ya kuwasili kwenye Ofisi ya CCM wilaya ya
Hanang leo akiwa njiani kwenda Singida
Msemaji
wa CCM, Christopher Ole Sendeka akisaini kitabu cha wageni katika Ofisi
ya CCM wilaya ya Hanang mkoani Manyara. Kulia ni Katibu wa CCM wilaya
hiyo, Kajoro Vyohoroka
Msemaji
wa CCM, Christopher Ole Sendeka akisaini kitabu cha wageni katika Ofisi
ya CCM wilaya ya Hanang mkoani Manyara. Kulia ni Katibu wa CCM wilaya
hiyo, Kajoro Vyohoroka na kushoto ni Mjumbe wa NEC wa Kigoma, na Ofisa
katika Idara ya Itikadi na Uenezi Makao Makuu ya CCM, Kilumbe Ng’enda
Msemaji
wa CCM, Ole Sendeka akisalimiana kwa bashasha na Mwenyekiti wa
Halmashauri ya wilaya ya Manyara, alipowasili kwenye ofisi ya CCM ya
wilaya hiyo leo
Msemaji
wa CCM, Mjumbe wa NEC, Christopher Ole Sendeka akizungumza na viongozi
wa CCM wa Wilaya ya Hanang, alipofika kwenye ofisi hiyo akiwa njiani
kwenda Singida leo
Msemaji
wa CCM na Mjumbe wa NEC, Christopher Ole Sendeka akisalimiana na baadhi
ya viongozi wa CCM alipowasili leo, Ofisi ya CCM mkoa wa Singia akiwa
katika ziara ya kikazi















0 maoni:
Chapisha Maoni