Kumekuwepo
na taarifa ambazo zimesambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii kuwa
aliyekuwa mbunge wa bunge la Afrika Mashariki kutoka Burundi, Hafsa
Mossi amefariki dunia.
Taarifa
kutoka Burundi zinaeleza kuwa serikali ya nchi hiyo tayari
imethibitissha kutokea kwa kifo cha mbunge huyo wa EAC na ikielezwa kuwa
Hafsa Mossi amekutwa na mauti baada ya kupigwa risasi katika eneo la
Buja, Burundi.
Mo Blog inaendelea kufatilia kwa karibu na tutaendelea kuripoti habari za kifo chake jinsi zitakavyokuwa zikitolewa.
0 maoni:
Chapisha Maoni