Jumatatu, 18 Julai 2016

Waziri Mkuu KASSIM MAJALIWA aongoza Harambee kwa Ajili Sekondari ya LINDI iliyoungua Moto

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary (kulia) wakiwashukuru wananchi waliojitokeza kuchangia ujenzi na ukarabati wa Shule ya Sekondari ya Lindi iliyoungua moto hivi karibuni.

Harambee hiyo ilifanyika kwenye viwanja vya shule hiyo mjini Lindi Julai 17, 2017. Kushoto kwa Waziri Mkuu ni Mkuu wa mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary (kulia) wakiwashukuru wananchi waliojitokeza kuchangia ujenzi na ukarabati waShule ya Sekondari ya Lindi iliyoungua moto hivi karibuni.

(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

0 maoni:

Chapisha Maoni