Postedy by Esta Malibiche on July 27 in News
| Mjane wa marehemu Daudi Mwangosi Itika Mwangosi mwenye kilemba cheusi akiwa katika foleni ya ukaguzi wa polisi ili kuingia mahakama kuu kanda ya Iringa leo |
| Mjane wa marehemu Daudi Mwangosi Itika Mwangosi mwenye kilemba cheusi akiwa katika foleni ya ukaguzi wa polisi |
| Mjane wa marehemu Daudi Mwangosi Itika Mwangosi mwenye kilemba cheusi akifurahi jambo na ndugu yake mzee Marko Mfugale mahakamani hapo leo |
| Rais wa umoja wa klabu za waandishi wa habari Tanzania Bw Deo Nsokolo akizungumza na wanahabari baada ya hukumu ya kesi ya mauwaji ya Mwangosi |
| Wanahabari mkoa wa Iringa wakimsikiliza Rais wa UTPC Deo Nsokolo leo katika viwanja vya mahakama |
| Wanahabari wakiwa nje ya viwanja vya mahakama baada ya kesi kumalizika |
| Mjane wa Mwangosi Itika Mwangosi mwenye kilemba akitoka mahakamani hapo huku akiwa na uso wa furaha baada ya hukumu kutolewa kwa muuaji kufungwa miaka 15 jela |
| Mjane wa Mwangosi akiwa katika viwanja vya mahakama kuu kanda ya Iringa |
| Mjane wa marehemu Daudi Mwangosi akizungumza na wanahabari ikiwa ni pamoja na kuwashukuru kwa umoja wao |
| Rais wa UTPC Deo Nsokolo akiwa na mtaalam wa IT Lukelo Mwaipopo leo nje ya mahakama kuu kanda ya Iringa |







0 maoni:
Chapisha Maoni