Jumamosi, 23 Julai 2016

MKUTANO MKUU MAALUM WA CCM UNAENDELEA UNAENDELEA MJINI DODOMA

 1Mabalozi kutoka nchi mbalimbali wakiwa katika Mkutano Mkuu Maalum wa CCM unaofanyika mjini Dodoma sasa ili kumthibitisha Rais Rais wa Jahuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli kuwa Mwenyekiti Mpya wa CCM Taifa akipokea uongozi huo kutoka kwa mtangulizi wake Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi  Dk. Jakaya Kikwete, Wajumbe wengi wamehudhuria katika mkutano huo wanatarajia kupiga kura hiyo leo PICHA NA JOHN BUKUKU-FULLSHANGWE-DODOMA
2Mabalozi kutoka nchi mbalimbali wakiwa katika Mkutano Mkuu Maalum wa CCM unaofanyika mjini Dodoma sasa hivi.
3
Baadhi ya wake wa viongozi waliohudhuria katika mkutano huo
4
Baadhi ya viongozi wastaafu wakipitia gazeti la uhuru lenye makala maalumu ya Dk. John Pombe Magufuli anayetarajiwa kuthibitishwa leo kuwa Mwenyekiti wa Cma cha Mapinduzi CCM.
5
Wajumbe kutoka Zanzibar wakiwa katika mkutano huo.
7
Wajumbe kutoka mkoa wa Morogoro nao hawakuwa nyuma kupitia makala ya Gazeti la Uhuru leo.
8
Mwimbaji wa kundi la Hamasa la CCM TOT Bi. Khadija Kopa na waimbaji wenzake wakitumbuiza katika mkutano huo.
9
Mmoja wa waalikwa akipata kumbukumbu katika mkutano huo.
10
Kundi la Hamasa la TOT likiendelea na burudani katika mkutano huo.
11 12
Baadhi ya wajumbe wakiongozwa na Mjumbe Angela Kairuki kutoka mkoa wa Dar es salaam wakiserebuka kabla ya kuanza kwa mkutano huo.
13
Dk. Fenella Mukangara kutoka mkoa wa Dar es salaam na Tambwe Munde kutoka mkoa wa tabora  wakiserebeka pamoja na wajumbe wenzao.
14
Mjumbe Munde Tambwe akisalimiana na Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM Mzee Yusuf Makamba.
15
Mjumbe Fredrick Mwakalebela kutoka mkoa wa Iringa akiwa na wajumbe wenzake.
17
18
TOT ikiendelea kutumbuiza
19 20
Mwakipesile na Mary Mwanjelwa Wajumbe kutoka mkoani Mbeya wakisalimiana kwa furaha.
6Mjumbe Livingstone Lusinde kutoka Dodoma  kulia akisalimiana na mjumbe mwenzake

0 maoni:

Chapisha Maoni