Postedy by Esta Malibicheon July 27, 2016 inJAMIIwithNo comments
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha
Oliva Joseph Mhaiki kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC)
Ikulu ndogo ya Chamwino Mkoani Dodoma.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha
Winfrida Gaspa Rutaindurwa kuwa Katibu wa Tume ya Utumishi wa Walimu
(TSC) Ikulu ndogo ya Chamwino Mkoani Dodoma.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa
katika picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC)
Oliva Joseph Mhaiki (kushoto) pamoja na Katibu wa Tume ya Utumishi wa
Walimu (TSC) Winfrida Gaspa Rutaindurwa (kulia) mara baada ya kuwaapisha
) katika Ikulu ndogo ya Chamwino Mkoani Dodoma.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa
katika picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC)
Oliva Joseph Mhaiki (watatu kutoka kushoto) pamoja na Katibu wa Tume ya
Utumishi wa Walimu (TSC) Winfrida Gaspa Rutaindurwa (watatu kutoka
kulia) mara baada ya kuwaapisha. Wengine katika picha ni Waziri Mkuu
Kassim Majaliwa , Mwanasheria Mkuu wa Serikali George Masaju, Katibu
Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi na Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI
Seleman Jafo.
Rais
Dkt. John Magufuli akisalimiana na Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI
Seleman Jafo mara baada ya tukio la uapisho katika Ikulu ndogo ya
Chamwino Mkoani Dodoma. Katikati ni Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.
Waziri
Mkuu Kassim Majaliwa akimpongeza Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa
Walimu (TSC) Oliva Joseph Mhaiki mara baada ya tukio la uapisho wa
Mwenyekiti huyo pamoja na Katibu wa Tume hiyo katika Ikulu ndogo ya
Chamwino Mkoani Dodoma.Picha na IKULU
0 maoni:
Chapisha Maoni