Jumatano, 27 Julai 2016

PSPF YAMKABIDHI KIASI CHA TSH.8 MILL. MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA KONDOAKWA AJILI YA MADAWATI




Picha kutoka maktaba ya Mkurugenzi

 Mkurugenzi wa  Halmashauri ya wilaya ya kondoa Mkoani Dodoma  Falessy Kibasa amepokea leo hii mchango wa Madawati  kiasi cha Mill.8 kutoka  shirika la Taifa la hifadhi ya jamii PSPF  ,pamoja na mashuka 200 kwa ajili ya hospitali





0 maoni:

Chapisha Maoni