11:03
Meneja
Uhusinao wa mamlaka ya Chakula naD awa (TFDA) Bi. Gaudensia Simwanza
(kulia) akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam
kuhusu mkakati wa Mamlaka hiyo kudhibiti madahara ya Dawa ikiwa ni moja
ya majukumu yake ili kuhakikisha kuwa wananchi wanakuwa Salama.kushoto
ni Afisa Usajili wa Dawa kutoka TFDA Dkt. Alex Nkyamba.
Afisa
Usajili wa Dawa kutoka TFDA Dkt. Alex Nkyamba akionesha kwa
waandishi wa habari fomu inayotakiwa kujazwa na wananchi pale wanapopata
madhara yatokanayo na dawa Leo Jijini Dar es salaam wakati wa mkutano
na vyombo vya habari.Kulia ni Afisa Uhusinao wa mamlaka ya Chakula na
Dawa (TFDA) Bi. Gaudensia Simwanza
Baadhi
ya Waandishi wa habari wakifuatilia mkutano wa Mamlaka ya Chakula na
Dawa (TFDA) na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam.
(Picha na Maelezo)
0 maoni:
Chapisha Maoni