Picha za matukio mbalimbali ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa katika ziara ya jimbo lake la uchaguzi la Ruangwa, Julai 15, 2016.
Kassim Majaliwa, Ruangwa
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na wazee wa kijiji  cha Chunyu  kabla ya kuwasalimia wananchi akiwa katika ziara ya jimbo lake la uchaguzi la Ruangwa, Julai 15, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na wazee Ruangwa
Mh. Majaliwa
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwaslimia wananchi wa kijiji cha Mihewe kabla ya kuzungumza nao akiwa katika ziara ya jimbo lake la uchaguzi la Ruangwa Julai 15, 2016.
Mary Majaliwa
Mke wa Waziri Mkuu, Mary Majaliwa akiwapungia wananchi wa kijiji cha Mihewe  akiwa ameambatana na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  kwenye ziara ya jimbo la Ruangwa Julai 15, 2016.
Majaliwa
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi wa kijiji cha  Matambalale  katika jimbo lake la uchaguzi la Ruangwa Julai  15, 2016
.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).