Picha za matukio mbalimbali ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa katika ziara ya jimbo lake la uchaguzi la Ruangwa, Julai 15, 2016.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na wazee wa kijiji cha Chunyu
kabla ya kuwasalimia wananchi akiwa katika ziara ya jimbo lake la
uchaguzi la Ruangwa, Julai 15, 2016.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akiwaslimia wananchi wa kijiji cha Mihewe kabla
ya kuzungumza nao akiwa katika ziara ya jimbo lake la uchaguzi la
Ruangwa Julai 15, 2016.
Mke wa Waziri Mkuu, Mary Majaliwa akiwapungia wananchi wa kijiji cha
Mihewe akiwa ameambatana na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwenye ziara
ya jimbo la Ruangwa Julai 15, 2016.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi wa kijiji cha
Matambalale katika jimbo lake la uchaguzi la Ruangwa Julai 15,
2016
.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
0 maoni:
Chapisha Maoni