Jumatatu, 4 Julai 2016

MWIGULU NCHEMBA AJIONEA NJIA ZA PANYA ZINAZOTUMIWA NA WAHAMIAJI HARAMU KUINGIA NCHINI KUPITIA MPAKA WA HOLILI NA TARAKEA

By Esta Malibiche on july4 with No Comment

Waziei wa Ulinzi na Usala nchini,Mwigulu Lameck Nchemba akikagua  mpahka wa Holili na Tarakea unaotenganisha Kenya na Tanzania



Wazili wa Ulinzi‬ na Usalama Mwigulu Nchemba ametembelea mpaka wa Holili na Tarakea uliopo kati ya nchi yetu na ya kenya kujionea  njia za panya zinazotumiwa na wahamiaji haramu kuingia nchini
 bila utaratibu rasmi uliowekwa na serikali.
'''''''Tumeanza kushirikisha serikali za mitaa,vijiji na wananchi waliopo mipakani kwa kutoa elimu ya Uraia,uzalendo na umuhimu wa kulinda mipaka yetu kuondokana na uhamiaji haramu.'''''alisema Mwigulu

Alisema,wizara inakwenda kuongeza nguvu kazi na vitendea kazi kudhibiti mipaka yetu inayotumiwa na wahamiaji hao kuingia nchini bila kibali maalum
.
'''''Natoa rai kwa wananchi wote hasa waliopo mipakani,tuna wajibu wa kulinda mipaka yetu na kutoa taarifa pindi kunapotokea watu/matukio yasiyoyakawaida katika mipaka yetu'''''''alisema Mwigulu

.
"Usalama wetu,jukumu letu sote

0 maoni:

Chapisha Maoni