Mwakilishi
wa Shirika la Misaada la Kimataifa la Makani (USAID), Moses Busiga
akizungumza wakati wa kikao cha kwanza cha maofisa watendaji wa
Halmashauri mbili za Wilaya ya Kyerwa na Biharamulo mkoani Kagera
kilichofanyika leo ikiwa ni kuanza kwa utekelezaji wa Mradi wa
Uimarishaji Mifumo ya Sekta za umma (PS3) Mkoani Kagera. Source:Father
Kidevu Blog
Kiongozi wa timu ya Uzinduzi wa Mradi wa PS3 Mkoani Kagera, Abdul Kitula akizungumza.
Washiriki wakisikiliza kwa makini mada
0 maoni:
Chapisha Maoni