08:55
Mkuu
wa Kitengo cha Habari, Elimu na Mawasiliano Ofisi ya Bunge, Owen
Mwandumbya akihutubia alipokuwa akizundua rasmi Bunge la Vijana la mwaka
2016, katika Ukumbi wa Pius Msekwa, mjini Dodoma jana. Mkutano huo ni
wa tatu toka kuanzishwa kwa Bunge la Vijana chini ya mradi Legislatures Support Project(LSP). Picha na Ofisi ya Bunge.
Wabunge
wa Bunge la Vijana la mwaka 2016, kutoka Vyuo mbalimbali vya Elimu ya
Juu wakila kiapo cha utii baada ya kuanza kwa mkutano wa tatu wa bunge
hilo, mjini Dodoma. Picha na Ofisi ya Bunge.
Spika wa Bunge la Vijana, Regnald Massawe (kushoto)
kutoka Chuo cha Uhasibu Arusha akimuapisha Stella Wadson-kutoka Chuo
cha Ustawi wa Jamii kuwa Naibu Spika wa Bunge hilo baada ya kuanza kwa
mkutano wa tatu wa Bunge la Vijana la mwaka 2016, mjini Dodoma. Picha na
Ofisi ya Bunge
Wabunge wa bunge la vijana kutoka vyuo mbalimbali wakiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa bunge hilo.
0 maoni:
Chapisha Maoni