Tayari
hali ya taharuki imetanda katika Nchi ya Uturuki baada ya
kuelezwa kuwa Jeshi la Nchi hiyo imechukua nchi kutoka mikononi mwa
Serikali.
Taarifa
zinaeleza kuwa majeshi ya Kituruki yanajaribu mapigano ambayo
hayajapewa baraka na Uongozi wa Nchi hiyo. Kilieleza chanzo cha habari.
Kwa
mujibu wa Waziri Mkuu w Uturuki, Binali Yaldirim amebainisha kuwa,
“Jaribio dhidi ya demokrasia na matakwa ya watu, Ni jambo baya zaidi na
hatupo tayari kwani jambo hili wanaathirika Zaidi Taifa na Nchi ”
alieleza Waziri huyo wa Uturuki.
Aidha,
kuna ndege hizo za kivita baadhi ya wananchi wameziona zikiruka angani
huku moja ya ‘tweet’ kwenye mitandao ya kijamii ikionyesha ndege hizo
za kivita katika Taifa hilo.
0 maoni:
Chapisha Maoni