Jumapili, 1 Mei 2016

Mkuu wa mkoa wa Arusha Daud Ntibenda AHUTUBIA WAFANYAKAZI KATIKA KILELE CHA MAADHIMISHO YA MEI MOSI

S9Mkuu wa mkoa wa Arusha akiwa katika sherehe za mei day kabla ya kuwahutubia wafanyakazi Leo jijini Arusha katika uwanja wa sheikh Amri Abeid .
S6Mkuu wa mkoa wa Arusha Daud Ntibenda akihutubia wakazi na wafanyakazi wa mkoa wa Arusha wakati wa kilele cha maadhimisho ya Siku ya wafanyakazi duniani Leo kwenye uwanja wa sheikh amri abeid jijini Arusha.
S10Wafanyakazi wa kampuni na mashirika mbalimbali mkoani Arusha wakifuatilia hotuba ya Mkuu wa mkoa wa Arusha daud ntibenda hayupo picha kwenye kilele cha sherehe za wafanyakazi Leo jijini Arusha
S7Zawadi za washindi wa maonyesho ya mei mosi kama zinavyoonekana pichani picha na Mahmoud Ahmad arusha
S8Moja ya gari la maonyesho kwenye mei mosi la idara ya misitu kama lionekanavyo pichani picha na Mahmoud Ahmad Arusha
S1Msafara wa magari ya maonyesho ukielekea uwanja wa sheikh amri Abeid jijini Arusha. 

0 maoni:

Chapisha Maoni