Jumanne, 24 Mei 2016

WASHIRIKI WA SHINDANO LA AJIRA YANGU BUSINESS PLAN COMPETITION WAANZA MAFUNZO

1Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la  Uwezeshaji (NEEC)Bi Beng’i Issa akigungua mafunzo ya washiriki wa shindano la andiko la Biashara la ajira yangu Ajira Yangu Business Plan Competition yaliyoanza jana kwenye ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es salaam ambapo vijana 50 wamefanikiwa kuendelea na shindano hilo baada ya mchujo kufanyika na kuwapata hao 50, Mchujo huo utaendelea ili kupata maadiko mengine bora ya kibishara bora 20 na kisha baadaye kupata maandiko bora  10 ambapo washindi hao 10 watapatiwa mitaji kwa ajili ya kundeleza bishara zao na kuanzisha biashara pia.
Katika picha kutoka kulia ni Mwezeshaji Mkuu wa Mafunzo Dkt. ThobiasSwai, Mwakilishi wa ILO Anna Marie Kiaga na kushoto ni mwakilishi  kutoka ILO, Bw. Geras Shirove
2 4Mwakilishi  kutoka ILO, Geras Shirove akizungumza katika wa ufunguzi wa mafunzo hayo kulia ni Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la  Uwezeshaji (NEEC)Bi Beng’i Issa na kushoto ni Mkurugenzi wa Uwezeshaji Bi Anna Lyimo.
5
Baadhi ya washiriki wa mafunzo hayo wakiwa kwenye ufunguzi rasmi wa mafunzo yanayofanyika kwenye ukumbi wa Makumbusho ya taifa jijini Dar es salaam.
6 Mkurugenzi wa Uwezeshaji Bi Anna Lyimo akitambulisha wageni mbalimbali waliohudhuria katika mafunzo hayo kabla ya kuyazindua rasmi

0 maoni:

Chapisha Maoni