Jumanne, 31 Mei 2016

ZIARA YA RAIS KUTEMBELA SEHEMU ZILIZOHARIBIWA NA WAPINZANI (CUF)

zi1Wanachama cha Mapinduzi CCM Tawi la Tibirinzi Wilaya ya Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba wakimasikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dkt.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) wakati alipotembelea tawi lao lililochomwa moto na Wapinzani kwa sababu za kisiasa kuona hali ya uharibifu uliotokea, [Picha na Ikulu.] 31/05/2016.
zi5Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dkt.Ali Mohamed Shein akisalimianana Sheha wa Shehia ya Maziwa Ngombe Bi,Asha Yussuf Hassan, aliyevunjiwa Nyumba yake na Wafuasi wa Chama cha CUF hivi karibuni kwa sababu za kisiasa pamoja na kukatiwa Migomba yeke wakati alipomtembelea leo kuangalia maafa hayo, [Picha na Ikulu.]31/05/2016.
zi6Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dkt.Ali Mohamed Shein akisalimianana Viongozi wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Micheweni wakati alipomtembea Sheha wa Shehia ya Maziwa Ngombe Bi,Asha Yussuf Hassan, aliyevunjiwa Nyumba yake na Wafuasi wa Chama cha CUF hivi karibuni kwa sababu za kisiasa pamoja na kukatiwa Migomba yeke wakati alipomtembelea leo kuangalia maafa hayo, [Picha na Ikulu.]31/05/2016.
zi7Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dkt.Ali Mohamed Shein (wa pili kulia) akipata maelezo ya ushuhuda kutoka kwa Sheha wa Shehia ya Maziwa Ngombe wilaya ya Micheweni Pemba, Bi,Asha Yussuf Hassan (katikati) aliyevunjiwa Nyumba yake na Wafuasi wa Chama cha CUF hivi karibuni kwa sababu za kisiasa pamoja na kukatiwa Migomba yeke wakati alipomtembelea leo kuangalia maafa hayo, [Picha na Ikulu.]31/05/2016.
zi8Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dkt.Ali Mohamed Shein akizungumza na wanachama cha Mapinduzi Tawi la Tibirinzi Wilaya ya Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba ambalo lilichomwa Moto na wapinzani  hivi karibuni,akiwa katika ziara maalum ya kutembelea maeneo mbali mbali yaliyopata matukio ya kisiasa,[Picha na Ikulu.] 31/05/2016.
zi2Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dkt.Ali Mohamed Shein (wa pili kulia) alipokuwa akizungumza na Wananchi wa Shehia ya Maziwa Ngombe wilaya ya Micheweni Pemba leo wakati alipomtembelea Sheha wa Shehia hiyo Bi,Asha Yussuf Hassan (katikati) aliyevunjiwa Nyumba yake na Wafuasi wa Chamacha CUF hivi karibuni kwa sababu za kisiasa pamoja na kukata Migomba yeke, [Picha na Ikulu.]31/05/2016.
zi3Mkuu wa Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba Mhe,Rasshid Hadid (wa pili kulia) akitoa maelezo kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dkt.Ali Mohamed Shein (katikati) wakati alipofika Kijiji cha Shengejuu shehia ya Pembeni kutembelea ujenzi wa Nyumba ya Nd,Said Khamis Iliyobomolewa na Wafuasi wa Chama cha CUF kwasababu za Kisiasa,(kushoto) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Mhe,Vuai Ali Vuai,[Picha na Ikulu.]31/05/2016.

0 maoni:

Chapisha Maoni