Jumanne, 24 Mei 2016

MAJALIWA AWASILI LUSAKA

MAJAWaziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Naibu Waziri wa Ulinzi wa Zambia, Christopher Mulenga baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Keneth Kaunda uliopo Lusaka  Mei 23, may 2016 ambako leo atamwakilisha Rais John Magufuli kwenye mkutano wa  Benki ya Maendeleo ya Afrika _ADB. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

0 maoni:

Chapisha Maoni