Jumamosi, 12 Novemba 2016

Waziri Mkuu KASSIM MAJALIWA aongoza Waombolezaji Mazishi ya SAMUEL SITTA

Posted by Esta Malibiche on Nov 12,2016 in NEWS

Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa na Mkewe Mary wakiweka shada la maua kwenye kaburi la Spika Mstaafu Samuel Sitta yaliyofanyika Urambo Novemba 12, 2016. 
Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa na mkewe Mary wakitupa udongo kwenye kaburi la Spika Mstaafu, Samuel Sitta katika mazishi yaliyofanyika Urambo, Novemba 12, 2016.

0 maoni:

Chapisha Maoni