Jumatano, 23 Novemba 2016

KINANA AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA SWEDEN JIJINI DAR ES SALAAM, LEO

Posted by Esta Malibiche on Nov 23,2016 in SIASA

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimkaribisha, Balozi wa Sweden hapa nchini Katrina Rangnitt, kwa ajili ya mazungumzo, Ofisin kwake, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam, leo   
 Katibu wa NEC, Siasa na ushirikiano wa Kimataifa, Dk Pindi Chana akimsalimia Balozi wa Sweden hapa nchini Tanzania, Katrina Rangnitt, kabla ya Balozi huyo kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (katikati), katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam, leo
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza na Balozi wa Sweden hapa Nchini Tanzania, Katrina Rangnitt, Ofiini kwake, katika Ofisi Ndogo ya makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam, leo 
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza na Balozi wa Sweden hapa Nchini Tanzania, Katrina Rangnitt, Ofiini kwake, katika Ofisi Ndogo ya makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam, leo. Kulia ni Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Pindi Chana. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO

0 maoni:

Chapisha Maoni